Tuesday, January 30, 2018

YOUTH FARMERS TRAINED ON ENTREPRENEURSHIP IN KAHE WARD


Facilitator noting something on board.




Young farmers listening careful to the facilitator

Mr. Mbele, project coordinator prepare some training documentations during training.

Mr Calvin Salema, FASO project accountant during seminar workshop..
Youth farmers are considered as backbone of the country. In Tanzania youth is currently the largest group in its history facing a number of critical life decisions. Their well being and health is profoundly important for agribusiness development.
In this context, FASO is implementing a project funded by ILO through The Foundation for Civil Society (FCS) to provide five-day entrepreneurship training to youth farmers in Kahe ward, Moshi Rural recently to assist them to set up their own business (formal farming business) and save them from unemployment.

As part of Organic farming project, the training involved ILO entrepreneurship training packages and the trainer was Mr. Martin Jeremiah (Qualified ILO SYB trainer). Through those training youth farmers were offered business and counseling in areas including business start-up, business planning, management, marketing, finance and customer care.
The endeavors will be made to facilitate those youth farmers for market identification and product development. FASO will contribute in building networking with available Microfinance Institutions (MFIs) to the entrepreneurs for access to finance to establish small scale enterprise.
“Promoting entrepreneurship to youth farmers is our main worry and objective,” says Innocent Mbele, the Coordinator of the project. He indicates that in the country, the lack of employment is a major challenge encountered by youth. Although agriculture is a backbone of Tanzania economy, there is a decreasing interest among youth in entering agricultural related fields due to the persistent perception of agriculture as an outdated field with minimal financial returns. Agriculture must be made ‘sexy’ and profitable to the youth, and entrepreneurship training to young farmers is a one of the solution…He said. 

WAKULIMA WAPATIWA MAFUNZO YA KILIMO HAI

Wakulima wa kata ya Kahe, Moshi vijijini wapatiwa mafunzo ya kilimo hai chini ya mradi unaofadhiliwa na shirika la Thefoundation for Civil Society na ILO na kutekelezwa na shirika la FASO lenye makazi yake Moshi, Kilimanjaro-Tanzania.  Mafunzo hayo yalitolewa na mwezeshaji kutoka shirika la FROLESTA Bi. Fatuma. 

Bi. Fatuma, mwezeshaji kutoka shirika la FROLESTA akifundisha somo la kilimo hai kwa wakulima wa Kahe
Ndugu. Calvin Salema kutoka FASO akizungumza na wakulima wakati wa semina ya Kilimo hai.
Shamba darasa la kutengeneza mbolea ya mboji

WAKULIMA WAFUNDISHWA JINSI YA KUANDAA UDONGO WA KITALU

Shirika la FASO likishirikiana na mtaalamu wa kilimo kutoka shirika la TAHA wametoa elimu kwa wakulima wa kijiji cha Ngasinyi, Moshi vijijini. Katika elimu hiyo Afisa kilimo kutoka shirika la TAHA, ndugu Gilliard alitoa elimu ya kuandaa udongo kwa kuuchoma udongo ili kupunguza wadudu.  Elimu hiyo itawawezesha wakulima kutotumia dawa za kemikali katika kukabiliana na wadudu. Hatua hiyo ni mwanzo wa shamba darasa la nyanya litakalo andaliwa kwapamoja.

Wakulima wakiandaa udongo kwa ajili ya kitalu.


Udongo ukichemshwa ili kuua wadudu.

Wakulima wakishuhudia udongo unavyochomwa

Afisa kilimo kutoka TAHA, Ndg Gilliard akikoroga udongo


Udongo ukipakuliwa teyari kwa kuanza kutumika

Afisa kilimo akiupooza udongo uliochomwa.

FASO EMPOWERING CHILDREN FROM FARMING FAMILY THROUGH ICT

THROUGH EMPOWERMENT OF FARMERS LIVES, FASO STARTED AN INITIATIVES OF TRAINING CHILDREN FROM FARMING FAMILY. BY SUPPORT FROM GERMANY ORGANIZATION CALLED LABDOO WHO PROVIDED USED LAPTOPS AND WORLD UNITE ORGANIZATION WHO BRING SUPPORTIVE VOLUNTEERS FROM DIFFERENT COUNTRIES, FASO TRAINING CHILDREN ON BASIC USES OF COMPUTER LIKE LATTER WRITING, DATA STORING ETC.



Children have a  porridge  during computer training

Children enjoy computer training

Frank Bubeck volunteer from Germany show a pupil laptop keyboard during training


Jacky(FASO staff) training children

Frank Bubeck with Abdi starting the journey to schools for computer training






WAKULIMA WAPATIWA MAFUNZO YA USINDIKAJI

Shirika la FASO chini ya ufadhiri wa shirika la ILO kupitia The Foundation for Civil Society wametoa mafunzo ya usindikaji kwa wakulima katika kata ya KAHE. Huu ni mwendelezo wa mradi wa kuelimisha wakulima vijana juu ya kilimo cha mbogamboga, na usindikaji. Katika mafunzo hayo wakulima wapatao therasini walipatiwa mafunzo hayo kwa lengo la kuanza usindikaji lasmi kupitia chama chao cha KAHOCOSO. Mafunzo hayo yaliwezeshwa na Afisa Kilimo Moshi vijijini, (Horticulture) Bi. Mercy Urio na Bi. Modesta Mosha kutoka shirika la SIDO.


Afisa Kilimo Moshi(V) akiwa katika maandalizi ya somo la usindikaji.




Calvin Salema (Mwasibu wa Mradi-FASO) akishiriki katika maandalizi ya somo la usindikaji.


Nyaya zilizolimwa na wakulima hao tayari kwa usindikaji.


Maandalizi ya usindikaji yakiendelea.


Calvin Salema, mhasibu wa FASO akishiriki katika usindikaji


Wakulima wakichemsha nyanya tayari kwa usindikaji.


Mbogamboga zilizoandaliwa kwaajili ya usindikaji




Kifaa cha ukaushaji (solar dryer) kilichotumika katika ukaushaji wa mbogamboga.
M
Mbogamboga zikiandaliwa kwa ajili ya usindikaji.
Mboga mboga zikiweka katika solar dryer tayari kwa ukaushaji.


Mbogamboga zikiwekwa katika Solar dryer.


Nyanya zilizosindikwa zikiwekwa katika chupa tayari kwa matumizi.


Wakulima wakiifadhi nyanya zilizosindikwa tayari kwa matumizi


Madhumuni
Madhumuni ya semina hii ni uwawezesha wanakozi washiriki kuelewa sheria na kanuni za msingi katika kusindika vyakula.
  1.  Kuweza kutambua vifaa vinavyofaa
  2. Kuweka kuelewa usafi na mpangilio wa kiwanda
  3. Kuelezea matatizo yanayoweza kutokea kwa walaji kama usafi na usalama hauzingatiwi katika utengenezaji vyakul
  4. Kuweza kuorodhesha kanuni zausalama na kutengeneza vyakula bora
Mwezeshaji alisisitiza Kazi za kufungasha ni pamoja na kulinda chakula kutokana na:-
  1. ·         Kupoteza au kuchukua unyevu
  2. ·         Kupoteza hewa ya “carbon dioxide”
  3. ·         Kuchukua hewa ya ‘oxygen’
  4. ·         Uchafu, vumbi, udongo n.k
  5. ·         Kusagika, kupondeka n.k
  6. ·         Joto
  7. ·         Chembechembe wasiotakiwa/waharibifu
  8. ·         Wadudu, ndege na panya
  9. ·         Kupoteza au kuchukua harufu
  10. ·         Kuzuia mafuta n.k
Ufungashaji (Packaging)
Mwezeshaji vilevile alisisitiza kuwa katika uuzaji vyakula katika soko, ufungaji una umuhimu mkubwa katika maeneo ya mijini, kwenye ushindani mkubwa wa kuuza bidhaa, ufungashaji mzuri unatakiwa. Vyombo vinavyotumiwa kufungasha lazima view na maombo mazuri na ujazo ambao soko linataka.
Pia lebo ziwe zenye rangi na mpangilio wa kuvutia, pamoja na vielelezo vya kutosha kukidhi sheria za udhibit wa vyakula, Kama vile bei, anwani ya msindikaji, vilivyomo na tarehe za kutengeneza/kutumia bila kuharibika.
Mahita ya kufungasha vizuri yanaweza kuwa kazi kubwa kwa wazalishaji wadogo, maana gharama zake ni kubwa. Hata hivyo, kufungasha kukidhi matakwa ya walaji na sheria ya nchi ni muhimu. Vifungashio viko aina nyingi lakini vinavyotumiwa sana kufungasha vyakula vilivyosindikwa ni kama vifuatavyo:
  1. ·         Chupa na vyombo vya kioo
  2. ·         Chupa na vyombo vya plastic
  3. ·         Vyombo vya aluminium
  4. ·         Makopo na galoni za bati
  5. ·         Mifuko ya karatasi na plastic
  6. ·         Makasha ya karatasi
Miundo mbalimbali ya vyombo hivi inakidhi mahitaji mbalimbali kutegemea sifa za chakula na matakwa ya soko.
Kadhalika mifuko ya ‘plastic’, karatasi, ‘aluminium’ n.k. kutumiwa kufungasha vyakula mbalimbali kama vile vya maji na unga.
Makasha na maboksi ya uwezo mbalimbali yananunuliwa kufungasha bidhaa kwa soko la reja na jumla.