Wakulima wakiandaa udongo kwa ajili ya kitalu.
Udongo ukichemshwa ili kuua wadudu.
Wakulima wakishuhudia udongo unavyochomwa
Afisa kilimo kutoka TAHA, Ndg Gilliard akikoroga udongo
Udongo ukipakuliwa teyari kwa kuanza kutumika
Afisa kilimo akiupooza udongo uliochomwa.
0 comments:
Post a Comment