Tuesday, January 30, 2018

WAKULIMA WAPATIWA MAFUNZO YA KILIMO HAI

Wakulima wa kata ya Kahe, Moshi vijijini wapatiwa mafunzo ya kilimo hai chini ya mradi unaofadhiliwa na shirika la Thefoundation for Civil Society na ILO na kutekelezwa na shirika la FASO lenye makazi yake Moshi, Kilimanjaro-Tanzania.  Mafunzo hayo yalitolewa na mwezeshaji kutoka shirika la FROLESTA Bi. Fatuma. 

Bi. Fatuma, mwezeshaji kutoka shirika la FROLESTA akifundisha somo la kilimo hai kwa wakulima wa Kahe
Ndugu. Calvin Salema kutoka FASO akizungumza na wakulima wakati wa semina ya Kilimo hai.
Shamba darasa la kutengeneza mbolea ya mboji

0 comments:

Post a Comment